MARASHI

PLAN YOUR WORK AND WORK ON YOUR PLAN BUT, WHEN YOU FAIL TO PLAN, YOU PLAN TO FAIL

Thursday, December 8, 2011

MHAFALI


Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislaam Morogoro, Profesa Hamza Njozi akihutubia wahitimu, wanachuo, wafanyakazi pamoja na wafanyakazi wa chuo katika Mahafali ya nne ya chuo hicho. Picha na Salim Said

Ajali


Lori likiwa limeacha njia na kufunga barabara ya Morogoro kilomita chache kutoka Daraja la Ruvu. Picha na Salim Said