MARASHI

PLAN YOUR WORK AND WORK ON YOUR PLAN BUT, WHEN YOU FAIL TO PLAN, YOU PLAN TO FAIL

Thursday, November 4, 2010

BREAKING NEWSS..... NEC yatupilia mbali ombi la Chadema

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Lewis Makame ametupilia mbali ombi lililotolewa na mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa la kutaka kusitishwa kwa utangazwaji wa matokeo ya urais na kutaka kazi hiyo ianze upya kwa madai kuwa maafisa wa usalama wa taifa wamechakachua matokeo hayo.