MARASHI

PLAN YOUR WORK AND WORK ON YOUR PLAN BUT, WHEN YOU FAIL TO PLAN, YOU PLAN TO FAIL

Wednesday, August 4, 2010

Tunafurahi pamoja


Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk Asha Rose Migiro, katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Tume ya Kurekebisha Sgeria Tanzania, alipofanya ziara fupi katika ofisi za Tume hiyo jijini Dar es Salaam. Picha zote na Salim Said.

PICHA MBALIMBALI ZIKIMUONYESHA MPENDAZOE NA MASHISHANGA SIKU YA KURA YA MAONI YA CHADEMA SEGEREA KUMTAFUTA MGOMBEA UBUNGE WA JIMBO HILO KUPITIA CHADEM






TUNAPIGA KURA

Mpendazoe
Mashishanga

TUNAMGOJA MATOKEO

DAH: SIJUI NITASHINDAAA!



Mpendazoe na Mashishanga

TUKO BIZE: KATIKA KINYANG'ANYIRO

Fred Mpendazoe na mpinzani wake Rachel Mashishanga wakiwa katika mkutano wa viongozi wa Chadema wa Kata nane za jimbo la Segerea kumchagua, mgombea wa ubunge kupitia chama hicho. Picha na Salim Said