MARASHI

PLAN YOUR WORK AND WORK ON YOUR PLAN BUT, WHEN YOU FAIL TO PLAN, YOU PLAN TO FAIL

Saturday, August 21, 2010

HAFLA MAALUM IKULU DAR

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislaam Morogoro, Hajat Mwantumu Malale katikati, akiwa na wakuu wenzake wa vyuo mbalimbali nchini Tz katika hafla ya kukabidhiwa Chata ya kuruhusiwa kuenelea kutoa huduma za elimu ya juu nchini. Picha nyingine zinamuonyesha Hajat Malale akikabidhiwa chata hiyo na Rais Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam.

NAKUKABIDHI CHATA HII MAMA