MARASHI

PLAN YOUR WORK AND WORK ON YOUR PLAN BUT, WHEN YOU FAIL TO PLAN, YOU PLAN TO FAIL

Thursday, August 26, 2010

DUH! KUMBE MISHKAKI YA BODABODA MPAKA CHINA IKO!

Huu ndio usafiri wa umma nchini China. Tanzania hatujafika lakini tunaelekea huko kwa hivi sasa tuna mishikaki ya watu watatu hadi wanne.

CUF, CHAMA DUME, CHAMA NGANGARI CHAZINDUA ILANI YAKE YA 2010


Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Wananchi(CUF) na Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba (katikati) akionyesha kwa waandishi wa habari ilani ya uchaguzi wa Chama hicho ya mwaka 2010 jana jijini Dar es salaam .Kushoto ni Mgombea mwenza wa CUF Juma Duni Haji na kulia ni Mkurugenzi wa Siasa Taifa Mbarala Maharagande. CHANZO MICHUZI BLOG

WAJAPANI WANACHEZA HADI KIDUKU SASA- WANAFUNZI



WAJAPANI WANACHEZA HADI KIDUKU SASA- WANAFUNZI



WAJAPANI WANAKATA SHULE BWANA

wanafunzi wa kidato cha tatu wa Kilangala wakiwa katika umbo la duara kutoa maoni yao kwa wanahabari kuhusu walimu wa kijapani.

waandishi wa habari wakimkong'oli maswali mwalimu Mukuno kutoka Japan.

PICHA MBALIMBALI ZIKIONYESHA WALIMU WA KUJITOLEA KUTOKA JAPAN KATIKA SHULE YA KILANGALANGA KIBAHA , PWANI

Walimu wa kijapani wakiwa katika evaluation workshop na walimu wa kibongo
Wanafunzi wa kidato cha tatu wa shule ya Kilangalanga wakiuza sura kwa Mlimani TV na mwalimu wao Kenji Tsukane

Mwalimu Mukuno akitoka darasani

Saturday, August 21, 2010

HAFLA MAALUM IKULU DAR

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislaam Morogoro, Hajat Mwantumu Malale katikati, akiwa na wakuu wenzake wa vyuo mbalimbali nchini Tz katika hafla ya kukabidhiwa Chata ya kuruhusiwa kuenelea kutoa huduma za elimu ya juu nchini. Picha nyingine zinamuonyesha Hajat Malale akikabidhiwa chata hiyo na Rais Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam.

NAKUKABIDHI CHATA HII MAMA





Tuesday, August 17, 2010

DUUH! HATARIII

Picha mbalimbali zikiwaonyesha baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Maliasili na Utalii na waandishi wa habari, wakicheza na nyoka mla watu aliyekuwa amepotea, mara baada ya kupatikana hivi karibuni. Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana ni kwamba chatu/nyoka huyo alipatikana baada ya ushirikiano wa dhati baina ya wafanyakazi hao na waganga wa jadi.



Sunday, August 15, 2010

HIVI NDIVYO CHARLES MWERA ALIVYOHAMIA CUF

Karibu CUF Babu, mimi naitwa Juma Duni, AKA Mjelajela.
Hii itakuwa kadi yako ya uanachamaee!
Sasa nakukabidhi haki
Usiwe na wasiwasi, jisikie uko nyumbani tu, hujapotea njia babu

Friday, August 13, 2010

BANDARI KUU YA MKOANI KISIWANI PEMBA




BANDARI KUU YA MKOANI KISIWANI PEMBA

Meli kongwe ya Serikali ya Mapinduzi ya ZNZ, MV Maendeleo ikiokoa jahazi la kubeba abiria na mizigo kati ya Unguja na Pemba, baada ya meli pekee iliyokuwa ikitegemewa na wafanyabiashara na wasafiri wa visiwa hivyo, MV Serengeti Kuungua moto miezi kadhaa iliyopita. Hata hivyo, sina imani na usalama wa MV Maendeleo.





FERY DAR
FERY DAR
HAPA NI FERY DAR, SEHEMU YA CHINI AU PWANI
FERY DAR

FERRY DAR

SEAGULL IKAKATA MAJI KUINGIA ZNZ