Mahamoud Pandu kutoka Chuo cha Mafunzo ya Kilimo Kizimbani Zanzibar (KATC) akionyesha namna ya kumwaga mbolea aina ya Yurea katika mpunga kwenye mashamba ya Chuo cha Mafunzo ya Kilimo Kilimanjaro (KATC), wilayani Moshi hivi karibuni. Picha na Salim Said.
No comments:
Post a Comment