| Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Waislaam Morogoro (MUM) akichangia mada iliyowasilishwa na Mhadhiri Msaidizi wa chuo hicho Suleiman Filambi. Picha na Ayoub Mvungi |
| Baadhi ya wahitimu wakifuatilia mada. |
| Mhadhiri Msaidizi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) Jamal (kulia) na mwenzake wa MUM wakiwa katika semina ya wahitimu wa MUM hivi karibuni mkoani Morogoro. |
| Mhadhiri Msaidizi wa MUM Said Nassor Jaff akiwasilisha mada ya Umuhimu wa Ndoa katika semina ya wahitimu wa MUM hivi karibuni mkoani Morogoro. |
| Mhadhiri Msaidizi wa MUM Said Nassor Jaff (katikati) akiwasilisha mada, kulia ni Mhadhiri Msaidizi wa MUM Salim Said na kushoto ni mhadhiri wa MUM Dk Athuman Mjinga |
| Jaafar Siraj akichangia mada kulian ni mhadhir msaidizi wa MUM Khalid Liyeme |