Picha mbalimbali zikimuonyesha Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Zanzibar Haroun Ali Suleiman naa baadhi ya wana-CCM katika kaburi la raisi wa kwanza wa Zanzibar hayati, Abeid Amani Karume kuomba dua muda mfupi kabla ya kuchukua fomu ya kugombea uraisi wa Zanzibar juzi mjini Unguja. Picha zote na Salim Said.
No comments:
Post a Comment